Menu ›
Burudani
Sun, 3 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Utajiri wa Staa wa Bongofleva, Ommy Dimpoz ukadiriwa kufikia Dola2 milioni, wastani wa Sh4.6 bilioni.
Utajiri wa Staa wa Bongofleva, Ommy Dimpoz ukadiriwa kufikia Dola2 milioni, wastani wa Sh4.6 bilioni. Data hizi zinatoka kwake mwenyewe ambaye alitoka kimuziki mwaka 2012 na kushinda tuzo ya TMA kama Msanii Bora Chupukizi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live