Menu ›
Burudani
Tue, 13 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa TMZ, staa wa muziki Usher Raymond na mpenzi wake wa muda mrefu Jennifer Goicoechea walifunga ndoa siku ya Jumapili, ndoa hiyo ilisimamiwa na Mchungaji Ronald Joseph Pokrywka.
Kwa mujibu wa TMZ, staa wa muziki Usher Raymond na mpenzi wake wa muda mrefu Jennifer Goicoechea walifunga ndoa siku ya Jumapili, ndoa hiyo ilisimamiwa na Mchungaji Ronald Joseph Pokrywka. Inasemekana wanandoa hao walianza mahusiano Mwaka 2019 na wamebarikiwa kupata watoto wawili pamoja!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live