Menu ›
Burudani
Mon, 25 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa R&B na Mshindi wa tuzo za Grammy, Usher Raymond anatarajiwa kutumbuiza katika Mapumziko ya tamasha la Super Bowl katika Uwanja wa Allegiant huko Las Vegas Februari 11, 2024 ambapo ameahidi burudani ambayo haijawahi kushuhudiwa Nchini humo
Ikumbukwe kuwa onesho la Rihanna la Half Time Show la Februari 12, 2023 liliweka rekodi kwa kutazamwa na watu Milioni 121 likivunja rekodi ya onesho la Katy Perry la mwaka 2015
Vipi Mdau, unadhani Usher anaweza kuvunja rekodi ya Riri?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live