Menu ›
Burudani
Tue, 23 Jun 2020
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Vanessa Mdee amesema hataki kuwa sehemu ya tasnia ya muziki na mfumo wa kazi wala kwenye soko la muziki, pia amehusisha sababu kama ulevi uliopitiliza, ugomvi na mama yake,sapoti huzuni na presha ndiyo vimemfanya kuacha muziki
Msanii Vanessa Mdee amesema hataki kuwa sehemu ya tasnia ya muziki na mfumo wa kazi wala kwenye soko la muziki, pia amehusisha sababu kama ulevi uliopitiliza, ugomvi na mama yake,sapoti huzuni na presha ndiyo vimemfanya kuacha muziki
Chanzo: www.tanzaniaweb.live