Menu ›
Burudani
Wed, 20 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ugomvi waibuka hapa Hospitali baada ya kifo cha Mzee wa Mjegeje, Marafiki zake wanataka azikwe Dar es Salaam lakini Ndugu wanataka aziķwe Bagamoyo.
Inadaiwa Mzee wa Mjegeje kabla hajafariki alisema kwamba azikwe Dar es Salaam maana kipindi anaumwa ndugu zake hawakumsaidia bali alisaidiwa na Marafiki.
Tazama Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live