Menu ›
Burudani
Fri, 24 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Polisi nchini Brazil wameripotiwa kufungua uchunguzi dhidi ya waandaji wa tamasha la siku ya Ijumaa la Msanii Taylor Swift lililosababisha kifo cha shabiki mmoja.
Polisi nchini Brazil wameripotiwa kufungua uchunguzi dhidi ya waandaji wa tamasha la siku ya Ijumaa la Msanii Taylor Swift lililosababisha kifo cha shabiki mmoja. Mwakilishi wa Idara ya Polisi ya Kiraia ya Riode Janeiro alisema walianzisha uchunguzi kuhusu Time4Fun, kampuni iliyopanga tukio hilo huko Estádio Olímpico Nilton Santos mnamo Novemba 17, kulingana na NBC News.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live