Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

UFAFANUZI: Chumba cha Hoteli DSM Gharama yake kwa usiku mmoja ni Milioni 22

2822 Hyatt 660x400

Fri, 9 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Ilikuwa ni mshikemshike mkubwa pindi Hyatt Regency hoteli ambayo zamani ilijulikana kama Kilimanjaro Kempinsky ya jijini Dar es Salaam kutangaza ofa ya chumba cha milioni 22 na laki 4 kwa ajili ya Siku ya Wapendanao yaani Valentines Day.

Inaelezwa kuwa chumba hiki ni kile wanacholala marais pindi wakija nchini na kwa siku za kawaida bei yake huwa ni Dola za Marekani 5000 sawa na Tsh Milioni 11 za Kitanzania.

AyoTV na millardayo.com tumempata Meneja wa Hotel ambaye ametoa ufafanuzi kuhusiana na chumba na ameelezea ni huduma zipi mtu atazipata akiwa hapo.

TOP 10: HIZI NDIZO HOTELI ZENYE VYUMBA VYA BEI ZA JUU ZAIDI DUNIANI

Chanzo: millardayo.com