Menu ›
Burudani
Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hitmaker wa "Water" Tyla kwenye interview yake ya hivi karibuni kwa mtazamo wake ametaja wanamuziki bora watano wa muda wote ulimwenguni.
Katika orodha hiyo amemtaja marehemu Michael Jackson, Rihanna, Drake, Britney Spears na Wizkid.
Vipi kwa upande wako, wanamuziki watano wa muda wote ni kina nani?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live