Menu ›
Burudani
Mon, 22 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Twiga aliyefahamika kwa jina la Floppy amekufa baada ya msimaminzi wake aitwaye Riste Trajkovski (44) kufariki huku chanzo cha kifo cha Twiga huyo bado hakijafahamika.
Twiga aliyefahamika kwa jina la Floppy amekufa baada ya msimaminzi wake aitwaye Riste Trajkovski (44) kufariki huku chanzo cha kifo cha Twiga huyo bado hakijafahamika. Riste Trajkovski, alifariki asubuhi siku mbili zilizopita huku Twiga huyo akichukuu saa chache kufa, Floppy alikuwa chini ya uangalizi wa Riste kwa miaka 12 katika Bustani ya Wanyama ya Skopje.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live