Menu ›
Burudani
Fri, 6 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
They call him Toto Bad kutoka record label ya Bad Nation TZ Marioo amefunguka kuwa mwaka huu ametengeneza Hits song nyingi na lazima amalize kwa kuongeza kuongeza Hits nyingine kwenye level hiyo.
They call him Toto Bad kutoka record label ya Bad Nation TZ Marioo amefunguka kuwa mwaka huu ametengeneza Hits song nyingi na lazima amalize kwa kuongeza kuongeza Hits nyingine kwenye level hiyo. "Aweee kulaanina! Huu mwaka tumetia hits nyingi sana kwa hiyo lazima tumalize na moto huu huu no way..." ameandika Marioo kupitia page yake ya Instagram
Chanzo: www.tanzaniaweb.live