Menu ›
Burudani
Sat, 28 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz anarajia kufunga tour yake ya A Boy From Tandale katika mji wa Texas Marekani.
Tour hiyo ambayo imebaba jina la albamu yake mpya itafungwa rasmi July 21 mjini Texas. Pia Diamond anatarajia kufanya tour Marekani kwenye miji kadhaa kama Los Angeles na Chicago.
March 14, 2014 ndipo Diamond alizundua albamu hiyo, uzinduzi ulifanyika Nairobi nchini Kenya ambapo star wa muziki kutoka Marekani, Omario alihudhuria, hata hivyo hadi sasa tour ya albamu hiyo hajafanyika Tanzania.
Chanzo: bongo5.com