Menu ›
Burudani
Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria Tiwa Savage amedai kuwa amekula chakula chenye sumu.
Tiwa kupitia Instastory ame-share picha za dawa ambazo anatumia kwa ajili ya kupambana na sumu hiyo huku akiandika ujumbe kwenye picha hiyo usemao ‘Food poison’.
Hata hivyo mpaka kufikia sasa #TiwaSavage hajaweka wazi sehemu aliyokula chakula hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live