Menu ›
Burudani
Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tiwa Savage ameweka wazi kuwa anataka kununua ndege binafsi.
Tiwa amelithibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kueleza kuwa ni wakati wa yeye kurudi Nigeria kwa ajili ya kuendelea na kazi huku akiweka wazi kununua ndege binafsi.
Mwanamuziki huyo kwa sasa yupo katika kisiwa cha #Bahamas kilichopo nchini Caribbean kwa ajili ya kula bata.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live