Menu ›
Burudani
Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki Nigeria, Tiwa Savage amesema kuwa ametumia fedha nyingi kumlipa mtaalamu wa IT kuondoa video yake ya ngono iliyovuja kwenye mitandao.
"Hofu yangu kubwa kuhusu kuvuja kwa kanda yangu ya ngono ilikuwa kwamba mwanangu anaweza kuiona siku moja," amesema na kuongeza.
"Lakini niliwasiliana na mtaalamu wa IT ambaye alidukua video kutoka kwenye mtandao na kwenye simu ya kila mtu. Hivi sasa, huwezi kuipata popote hata kama ulikuwa umeihifadhi kwenye simu yako,” amesema Tiwa Savage.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live