Menu ›
Burudani
Thu, 4 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Tiwa Savage amethibitisha ujio wa kolabo yake na kundi la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Soul.
Muimbaji huyo ambaye kwa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sugarcane’, kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ujumbe mfupi ambao umeweka wazi kuhusu ujio wa kolabo hiyo.
Too early in the year or na
Chanzo: bongo5.com