Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, Tekno ametangaza dili nono kwa mashabiki wake wote barani Afrika ambao watakuwa na vigezo anavyovihitaji.
Tekno amesema kuwa anahitaji Mwanamitindo/Model ambao atawatumia kwenye video yake mpya.
Kama unajiona una vigezo fuata maelekezo haya yafuatayo ili uweze kupata shavu la kutokea kwenye kichupa hicho, Andika hashtag ya #yourlovethevideo kisha posti video kwenye mitandao ya kijamii na usisahau kum-mention jina lake.
Teknoofficial Looking for a model, for my next music video! Pls Use this hashtag #yourlovethevideo on a new post if u are interested! Let’s find a beauty for This beast! #hit London, EastAfrica, WestAfrica, EU, Southafrica, #allAfrica
Chanzo: bongo5.com