Menu ›
Burudani
Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tegemea muda wowote kuanzia sasa utatoka wimbo wa wasanii maarufu Nigeria, Augustine Miles Kelechi Okechukwu 'Tekno Miles' pamoja na Damini Ebunoluwa Ogulu MFR 'Burna Boyg'.
Hii imethibitishwa na Tekno Miles baada ya kuombwa na shabiki yake kuwa afanye wimbo na Burna Boy. Tekno amejibu kwamba wimbo upo jikoni ukiendelea kupikwa.
Unadhani ngoma hiyo itakuwa kali kiasi gani?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live