Menu ›
Burudani
Tue, 27 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Wewe ni mpenzi wa kudansi? Msanii Mr D kutoka Rwanda ambaye anaishi nchini Marekani amekuletea burudani hiyo.
Msanii huyo ameachia video yake ya dansi ambayo imetoka kwenye wimbo wake wa ‘Yolo’ ambao aliuachia mwezi Novemba 2016.
Video hiyo ya dansa imefanyika hapa nchini Tanzania.
Chanzo: bongo5.com