Menu ›
Burudani
Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa CNN, Msanii Taylor Swift ana sifa nyingine ya kuwa Trilionea, Staa huyo wa Muziki wa Pop kwa sasa ameingia kwenye list ya Matrilionea Bloomberg analysis.
Bloomberg inasema kwa sasa thamani ya TylorSwift ni Dola Bilioni 1.1 (zaidi ya Sh. Trilioni 2.4) na hii ni kutokana na mafanikio makubwa ya ziara yake ya Eras ambayo ilisaidia kukuza uchumi wa Amerika msimu huu wa joto.
Bloomberg alisema Swift ni mmoja wa watumbuizaji wachache kufikia hadhi hiyo kutokana na muziki na uchezaji wake pekee.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live