Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tanzia: Msanii Amir Sudi Andanenga afariki Dunia

Amir Sudi Andanenga (16).jpeg Amir Sudi Andanenga.

Wed, 1 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Msanii mkongwe na miongoni mwa washairi wakubwa nchini na Afrika Mashariki, Amir Sudi Andanenga amefariki dunia usiku wa Mei Mosi, 2024.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi nchini (UKUTA), marehemu Andanenga amekutwa na umauti akipatiwa matibabu katika hospitali ya Dkt. Mvungi, Kinondoni, Dar es Salaam.

Maziko ya Andanenga aliyefahamika zaidi kwa jina la sanaa ya ushairi la ‘Sauti ya Kiza’ yanatarajiwa kufanyika leo tarehe mosi, Mei 2024 wilayani Kinondoni Dar es Salaam.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live