Menu ›
Burudani
Sun, 8 Aug 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
TANZIA: Mtangazaji maarufu wa Radio Free Afrika na Star TV, Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7, 2021. Atakumbukwa zaidi katika vipindi mabli mbali alivyojipatia umaarufu ikiwemo Mambo Mambo na RFA, pamoja na Asili ya Mtanzania kupitia Star TV.
Taarifa zaidi kuhusu msiba huo tutaendelea kukujuza.
Chanzo: globalpublishers.co.tz