Menu ›
Burudani
Mon, 6 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Supastaa wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz na Alikiba wameonekana pamoja kwa mara yakwaza tangu Dimpoz na Diamond warudishe urafiki wao.
Supastaa wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz na Alikiba wameonekana pamoja kwa mara yakwaza tangu Dimpoz na Diamond warudishe urafiki wao. Watu wengi walidhani kwamba Dimpoz atakuwa na tofauti na Alikiba baada yakurudisha urafiki na hasimu wake wa muda mrefu lakini aijawa ivo, Ommy na King wako safi na ni peace and love.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live