Menu ›
Burudani
Tue, 9 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tanasha Donna; ni msanii wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Kenya ambaye pia ni baby mama wa staa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz.
Tanasha anasema Diamond ambaye ni bosi wa Lebo ya WCB anashiriki vizuri katika malezi ya mtoto wao.
“Kiukweli siyo mbaya, namaanisha kwamba anajitahidi kuwa baba bora na hilo nampa heshima yake,” anasema Tanasha ambaye amezaa mtoto mmoja na Diamond aitwaye Naseeb Junior (NJ).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live