Menu ›
Burudani
Fri, 5 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tamasha la ‘Made In America’ linaloratibiwa na msanii nguli wa Hip Hop na Mfanyabiashara Jay-Z halitafanyika mwaka huu 2024 ikiwa ni mwaka wa pili mfululizo Waandaaji wa tamasha hilo wanaahirisha pasina kueleza sababu.
Tamasha la ‘Made In America’ linaloratibiwa na msanii nguli wa Hip Hop na Mfanyabiashara Jay-Z halitafanyika mwaka huu 2024 ikiwa ni mwaka wa pili mfululizo Waandaaji wa tamasha hilo wanaahirisha pasina kueleza sababu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live