Menu ›
Burudani
Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tabulele, msanii kutoka Kongo, amewasili jana jijini Dar na moja kwa moja akaibuka studio kwa Harmonize.
Tabulele, msanii kutoka Kongo, amewasili jana jijini Dar na moja kwa moja akaibuka studio kwa Harmonize. Akiwa kwa Harmonize, amewashukuru Yanga SC kwa kumkutanisha na Harmonize na wataandaa usiku huo huo kutengeneza remix ya Tabulele ambayo itaachiwa usiku huohuo na leo kwenye hamasa za Mbagala utaimbwa wimbo huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live