Menu ›
Burudani
Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji Lucas Mhuvile "Joti" ameshinda tuzo ya Muigizaji Bora wa vichekesho kwa mwaka 2021.
Muigizaji Lucas Mhuvile "Joti" ameshinda tuzo ya Muigizaji Bora wa vichekesho kwa mwaka 2021. Hafla ya ugawaji wa Tuzo hizo imefanyika katika Ukumbi wa Royal Tughimbe Hotel jijini Mbeya Disemba 18.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live