Menu ›
Burudani
Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Filamu bora chaguo la majaji iliyofanikiwa kunyakua tuzo ni "JANGA" na tuzo imekabidhiwa kwa John Kololo kutoka jijini Mbeya.
Filamu bora chaguo la majaji iliyofanikiwa kunyakua tuzo ni "JANGA" na tuzo imekabidhiwa kwa John Kololo kutoka jijini Mbeya. Hafla ya ugawaji wa Tuzo hizo imefanyika Jijini Mbeya Usiku wa Jumamosi ya Disemba 18.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live