Menu ›
Burudani
Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kiume imekwenda kwa Isarito Mwakalindile kupitia filamu ya Obambo.
Ameibuka kinara katika kipengele hicho akiwashinda John Kokolo (Janga), Salum Ahmed (Kesho), Sadam Nawanda (Haikufuma), na Jacob Stephen -JB (Slay Queen).
Hafla ya utoaji wa Tuzo hizo imefanyika Jijini Mbeya Jumamosi ya Disemba 18.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live