Menu ›
Burudani
Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanadada Godliver Godian ndiye Muigizaji Bora wa Kike 2021, amenyakua tuzo hiyo kupitia filamu ya Jua Kali.
Godliver amenyakua tuzo hiyo akiwapiku Christina Mroni (Decision), Johari Thabit (Malupelupe), Tishi Abdallah (Kesho), na Riyama Ali (Turufu).
Hafla ya utoaji wa Tuzo hizo imefanyika Jijini Mbeya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live