Menu ›
Burudani
Sat, 31 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imetoa taarifa rasmi kuwa imeyapokea malalamiko ya Mfanyabiashara Naseeb Abdul alimaarufu kama Diamond Platnumz msanii wa bongofleva.
TRA imeeleza kuwa imeyapokea malalamiko yake na tayari imeshafanya mawasiliano na mhusika.
Jana Disemaba 30, kupitia kipindi cha "The switch" msanii huyo alilalamika kufanyiwa vitendo vusivyo vya kiungwana na Mamlaka ya Mapatao Tanzania (TRA) ikiwemo kuzuia Akaunti zake mbali ya kuwa analipa kodi kwa wakati pasipo shaka yoyote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live