Menu ›
Burudani
Fri, 26 Mar 2021
Chanzo: ippmedia.com
TID ameomba msamaha huo leo kapitia ukurasa wake wa Instagram.
TID ameomba msamaha huo leo kapitia ukurasa wake wa Instagram. "Hakika Ijumaa ya leo itabaki kuwa kwenye kichwa changu, maneno peke yake hayatoshi, naomba Allah akusamehe madhambi yako, pia huko ulipo nisamehe kwa kushindwa kufika mazikoni Chato" ameandika TID
Chanzo: ippmedia.com