Menu ›
Burudani
Mon, 26 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya BONGO FM kuzinduliwa leo hawa ni baadhi ya watangazaji ambao tarajia kuwasikia.
Baada ya BONGO FM kuzinduliwa leo hawa ni baadhi ya watangazaji ambao tarajia kuwasikia. Djaro Arungu, Mariam Migomba, Nikiza na MC kisoli (wa watubaki), Nazareth Upete, Francis Muhando wa Efm, Irene Kilango wa Global na Gladnes wa kitimtim.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live