Menu ›
Burudani
Wed, 20 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa vichekesho Umar Lahbedi Issa maarufu kama @mzeewamjegejetz amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospital ya Mwananyamala alipokuwa akipatiwa matibabu.
Msanii wa vichekesho Umar Lahbedi Issa maarufu kama @mzeewamjegejetz amefariki dunia leo Alfajiri katika Hospital ya Mwananyamala alipokuwa akipatiwa matibabu. Meneja wa msanii huyo, Real Jimmy amethibitisha taarifa hizo za kifo cha msanii wake aliyekuwa anaishi Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live