Menu ›
Burudani
Thu, 4 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani itwaye Jane Doe amefungua kesi Mahakamani ya kumshitaki rapper T.I na mkewe Tiny, kwa kumfanyia unyanyasaji wa kingono tukio lililotokea mwaka 2005.
Jane Doe alidai kuwa T.I na mkewe walimlewesha pombe kisha ‘rapa’ huyo alimlawiti huku mkewe akiwa anamkandamiza kitandani.
Si T.I tu na mkewe kumekuwa na wimbi la kufungua kesi za unyanyasaji wa kingono nchini Marekani kwa ‘mastaa’ mbalimbali wakiwemo Vin Diesel, Diddy, Cuba na wengineo huku lengo kubwa likiwa ni kudai fidia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live