Menu ›
Burudani
Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Legendary wa musiki wa Bongo Fleva, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu au Jongwe amedai kuwa hakuna msanii wa Tanzania mwenye hit songs nyingi kama yeye na mkongwe mwenzake, Ambwene Yessaya 'AY'.
Legendary wa musiki wa Bongo Fleva, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu au Jongwe amedai kuwa hakuna msanii wa Tanzania mwenye hit songs nyingi kama yeye na mkongwe mwenzake, Ambwene Yessaya 'AY'. “Katika wasanii wenye Hits nyingi Tanzania AY yumo ukiachilia mbali Sugu. AY amefika pale kwa sababu ya Nidhamu na anapenda anachokifanya hata maandalizi yake yamenyooka,” amesema Sugu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live