Kufuatia uteuzi wa Msanii wa Bongo Movies, Steve Nyerere kuteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT) na sakata hilo kuibua hisia tofauti miongoni mwa wasanii wa tasnia hiyo, mwenyewe amevunja ukimya na kusema.
Kufuatia uteuzi wa Msanii wa Bongo Movies, Steve Nyerere kuteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT) na sakata hilo kuibua hisia tofauti miongoni mwa wasanii wa tasnia hiyo, mwenyewe amevunja ukimya na kusema. "Sijiuzulu na wala sitoki, nina nia ya kuendeleza industry ya nchi hii,” amesema Steven Mengere, maarufu Steve Nyerere na kuongeza kwamba uteuzi wake ukitenguliwa atakwenda mahakamani.