Baada ya Lebron James kum-unfollow Rapa Diddy kwenye mtandao wa kijamii wa instagram, mara baada ya kuvuja kwa video yake ikimuonyesha akimfanyia unyanyasaji aliyekuwa mpenzi wake Cassie machi 2016, amejitokeza mkali mwingine wa mchezo wa mpira wa kikapu Stephen Curry anayekipiga kwenye timu ya kikapu ya Golden State Warriors inayoshiriki ligi kuu ya kikapu nchini marekani “NBA” ameamua kuacha kumfuata l Diddy kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na X.
Baada ya Lebron James kum-unfollow Rapa Diddy kwenye mtandao wa kijamii wa instagram, mara baada ya kuvuja kwa video yake ikimuonyesha akimfanyia unyanyasaji aliyekuwa mpenzi wake Cassie machi 2016, amejitokeza mkali mwingine wa mchezo wa mpira wa kikapu Stephen Curry anayekipiga kwenye timu ya kikapu ya Golden State Warriors inayoshiriki ligi kuu ya kikapu nchini marekani “NBA” ameamua kuacha kumfuata l Diddy kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na X.