Menu ›
Burudani
Mon, 23 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hii ndio steji ambayo Beyonce ametumbuiza kwa saa moja mjini Dubai usiku wa kuamkia jana na kulipwa zaidi ya TSh. Bilioni 56.
Taarifa mpya zilizotoka baada ya onesho hilo kufana, Queen Bey yupo kwenye mazungumzo na Waandaaji wa Tuzo za Grammy kwa ajili ya kutumbuiza kwenye usiku wa Tuzo hizo, February 5 mwaka huu. Mtandao wa Variety umeripoti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live