Menu ›
Burudani
Thu, 21 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Anita Joseph; ni staa wa filamu za Kinigeria ambaye ameacha watu midomo wazi kufuatia kuvaa nguo ya ndani yenye vaibresheni hivyo kuanza kupagawa hadharani.
Mumewe wa ndoa, MC Fish ndiye alikuwa anaikontroo vibrator husika kwa rimoti hadharani na kumfanya Anita kuvaibreiti.
Anita na MC Fish ni wanandoa ambao wamekuwa hawakaukiwi drama na vituko vingi vya kila kukicha hivyo kuifanya tasnia ya filamu nchini humo kufuatiliwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live