Menu ›
Burudani
Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa NBA na Mtangazaji Shaq O’Neal amesema, huwa anatumia kiasi cha ($1,000) takribani TSh. Milioni 2.5 kwa ajili ya kusafisha kucha na miguu tu.
Nyota wa zamani wa NBA na Mtangazaji Shaq O’Neal amesema, huwa anatumia kiasi cha ($1,000) takribani TSh. Milioni 2.5 kwa ajili ya kusafisha kucha na miguu tu. Shaq anasema miguu yake huwa inanuka hivyo inambidi kuisafisha mara kwa mara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live