Menu ›
Burudani
Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Soulja Boy anaamini kwamba marekani inaifungia TikTok kwasababu anaingiza pesa nyingi kupitia app hiyo.
Soulja anasema jana aliingiza kiasi cha $32k zaidi ya (Tsh milioni 81.6/=) "ndiyo maana wanajaribu kuifunga TikTok."
Hii ni baada ya bunge la Marekani rasmi jana kupitisha muswada wa kuufunga mtandao wa TikTok kama mmiliki wa kampuni hiyo ‘ByteDance’ toka China atagoma kuupiga bei mtandao huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live