Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Snura Mushi aliyetamba na wimbo wa Majanga ametangaza rasmi kuacha muziki na shughuli zote za kisanaa na kujikita zaidi kwenye dini na ameomba nyimbo zake zisipigwe tena sehemu yoyote.
"Naomba nikifa msipost picha zangu za ‘uchi’ mtandaoni"
Snura Mushi amewataka wasanii, Watanzania pamoja na wadau wa sanaa akifa hata kesho anaomba picha zake zilizopo mitandaoni kwa kuwa kufanya hivyo kutaiumiza zaidi familia.
Amedai picha zake nyingi zilizo mtandaoni ni mbaya na haziendani na maisha yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live