Menu ›
Burudani
Tue, 7 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inawezekana ukawa hufahamu hili lakini ukweli ni kwamba pamoja na kufanya makubwa kwenye muziki Rapa Snoop Dogg hajawahi kushinda tuzo ya Grammy licha ya kutajwa kwenye vipengele tofauti tofauti mara 20 katika kipindi chache chote cha muziki.
Mara ya kwanza Snoop aliingia kwenye tuzo hizo mwaka 1994 kupitia kolabo aliyoshirikishwa na Dr.Dre - Nuthin' But a G Thang Ft. Snoop Dogg.
Marapa wanaoongoza kuchukua tuzo hizo ni #JayZ 24, Kanye West 24, #KendrickLamar 17, Eminem 15 na #Pharrell 13.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live