Menu ›
Burudani
Sat, 9 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Mkongwe Snoop Dogg amefunguka kuhusu mrabaha aliowahi kupokea kwa Streams Bilioni 1 katika Mtandao wa Spotify.
Rapa Mkongwe Snoop Dogg amefunguka kuhusu mrabaha aliowahi kupokea kwa Streams Bilioni 1 katika Mtandao wa Spotify. Akiwa katika mahojiano kwenye Podcast ya #BusinessUntitled alisema kuwa alitengeneza chini ya $45000 (Tsh.112+) kwa Streams Bilioni 1 katika mtandao wa Spotify kitu ambachoalishangaa na kumuuliza Msaidizi wake ndio pesa gapi hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live