Menu ›
Burudani
Sat, 21 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Haji Manara amefunguka kuwa kamwe hawezi kurudiana na aliekuwa Mke wake @rushaynah_ huku akisema kuwa ni bora kurudiana na @rubynah_bnt_salum na sio Rushaynah
Akiwa kwenye kipindi cha #LeoTena cha #CloudsFM #Manara amesema kuwa ni bora arudiane na mwanamke aliezaa nae na sio #Rushaynah
"Ni rahisi zaidi kwangu kufikiria kumrejea #Ruby na sio huyo yani kama duniani hakuna mwanamke mwingine nitaishi bila mke, Unajua ni kwanini anajisifia kuwa naweza kurudi kwake muda wowote ni kwasababu hakuna kingine cha kuzungumzia zaidi ya kunitaja kwani hakuna ambae angemjua bila mimi"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live