Menu ›
Burudani
Fri, 10 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki na muigizaji nchini Mimi Mars amedai kuwa hawezi kugombana mwanamke mwenzake kisa mwanaume ni aibu kwake kwa jinsi alivyolelewa.
Akizungumza na waandishi wa habari mwanadada huyo ameeleza yeye hawezi kugombana na mwanamke mwenzie kisa mwanaume ni aibu, na anadai hayo mambo yamepitwa na wakati unatakiwa kupambana na hali.
Hata hivyo, msanii huyo ameeleza kuwa ukimuona mwanamke anagombana kisa wanaume hadharani basi ndiyo tabia yake na alivyolelewa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live