Menu ›
Burudani
Wed, 7 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Mashabiki walikuwa wanahoji ni kipi hasa kilichompeleka Ommy Dimpoz nchini Uingereza mara baada ya kuonekana akihudia mchezo kati ya Manchester United na Tottenham Hotspurs wiki iliyopita.
Wakati mashabi wakijiuliza hilo, Ommy Dimpoz ameanza kujibu kwa vitendo maara baada ya kuonekana akiwa location na msanii wa Nigeria Mr. Eazi. kupitia social network zake Ommy Dimpoz ame-share video hii;
Chanzo: bongo5.com