Menu ›
Burudani
Fri, 19 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo anayetajwa kuishi Uhispania "Calita Fire" anasema kwamba hajanyoa nywele za kwapa kwa miaka kadhaa kwa sababu zinamuingizia pesa.
Mrembo anayetajwa kuishi Uhispania "Calita Fire" anasema kwamba hajanyoa nywele za kwapa kwa miaka kadhaa kwa sababu zinamuingizia pesa. Mrembo huyo amesema, nywele hizo zinamuingizia zaidi ya Tsh Milioni 23.1 kwa Mwezi lakini pia Boyfriend wake anazipenda sana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live