Menu ›
Burudani
Fri, 13 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kupitia ngoma ya Fear kutoka kwenye Album ya 'For The All Dogs' ya Drizzy Drake @champagnepapi amechana kuwa hakulia wakati Tupac Shakur anafariki ila atafanya hivyo kwa "HOV" Jay Z.
Line hiyo ya Drake inasema "Usichukulie hii kwa nia mbaya lakini sikuwahi kulia Pac alipofariki lakini nitafanya hivyo wakati wa HOV".
Msanii gani wa Bongo anaweza akasababisha kukutoa machozi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live