Menu ›
Burudani
Mon, 15 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwaka 2018 unaweza ukawa wa neema kwa wasanii chipukizi baada ya kuonekana kuanza kuachia ngoma kali kimya kimya.
Miongoni mwa wasanii hao ambao wameachia ngoma hizo ni mrembo Monah. Msanii huyu ameachia wimbo wake uitwao’Navumilia’ ambao umetayarishwa na prodyuza Mo-Fire.
Chanzo: bongo5.com